Sekta ya Uvuvi inashika nafasi ya tatu katika kuchangia pato la halmashauri. Hivi sasa jamii imeelimishwa na imeanza shughuli ya ufugaji wa Samaki ndani ya Ziwa Victoria na kwenye Mabwawa ili kuzalisha samaki kwa tija na kulinda mazingira ya Ziwa na hivyo kuwapa fursa samaki wa ziwani kuzaliana.
Kilimani Street
Anuani ya Posta: 126, Bunda
Simu: 0677002976
Hamishika: 0783669938
Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz
Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda