• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI abatilisha Maeneo ya Kiutawala ya Halmashauri za Wilaya na Mji wa Bunda

Posted on: June 19th, 2017

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. George Simbachawene leo tarehe 19/6/2017 amebatilisha Maeneo ya Kiutawala ya Halmashauri ya Wilaya ya Bunda na Halmashauri ya Mji wa Bunda. Mhe. Simbachawene alifikia maamuzi hayo baada ya kusikiliza kwa maakini michango ya washiriki mbalimbali wa kikao cha majumuisho kilichofanyika na kuona kuwa zoezi la mgawanyo liligubikwa na mgogoro uliosababishwa na mipaka iliyowekwa hapo awali kwa kuwa haikuzingatia lengo kuu la uanzishwaji wa Halmashauri hizo la kusogeza huduma karibu na Wananchi. 

Akitoa ufafanuzi wa uamuzi huo, Mhe. Simbachawene alisema kuwa haiwezekani mamlaka moja iwe na eneo la kiutawala ambalo mwannchi wake akitaka huduma analazimika kuruka mamlaka nyingine. Alisema hivyo akitolea mfano eneo linalosimamiwa na halmashauri ya wilaya ya Bunda ambayo inaundwa na Tarafa 3 za Kenkombyo, Nansimo na Chamriho ambapo ili mwananchi toka tarafa ya Chamriho apate huduma toka makao makuu ya halmashauri yake itabidi azipite kwanza ofisi za halmashauri ya Mji na ndipo afike ofisi za halmashauri ya Wilaya.

Waziri Simbachawene alihitimisha uamuzi huo kwa kuitaka halmashauri ya Wilaya ya Bunda kukabidhi majengo yake yote kwa Halmashauri ya Mji na kwenda kujenga ofisi zake katika Jimbo la Mwibara lenye tarafa 2 za Nansimo na Kenkombyo. Wakati huo huo Mhe. Simbachawene ameagiza wasaidizi wake kuangalia namna ya kuunganisha Tarafa ya Chamriho na ile ya Serengeti yalipo Makao Makuu ya Halmashauri ya Mji kwa sasa ikiwa ni moja ya hatua za kuweka uwiano wa maeneo ya kiutawala na hivyo kurahisisha utoaji huduma kwa wananchi.



Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda