• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA SIASA IMEENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA.

Posted on: March 12th, 2025

Mwenyekiti wa Kamati ya siasa Wilaya ya Bunda, Ndugu. Mayaya Abrahamu siku ya tarehe 12/3/2025 ameongoza wajumbe wa Kamati katika ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda kwa mwaka wa fedha 2024/2025.

Katika ziara hiyo, wajumbe walitembelea na kukagua ukamilishaji wa zahanati ya Tiringa'ati, ambapo wajumbe walipongeza na kuridhishwa namna mradi huo unavyoendelea ambapo, mwenyekiti aliagiza kasi iongezwe katika ukamilishaji ili zahanati iweze kufunguliwa na ianze kutoa huduma mapema mwezi wa nne.


Wajumbe wa kamati walitembelea na kukagua miradi ya maji ya Nyamuswa na Mugeta, ujenzi wa barabara ya Mekomariro, nyumba ya watumishi katika shule ya sekondari Mariwanda, ukamilishaji wa ujenzi wa shule ya Sekondari Nyaburundu, ujenzi wa zahanati ya Mahanga, ambapo ipo katika hatua za upauaji, pia, walitembelea na kukagua maendeleo ya ufyatuaji wa matofali kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya Madarasa katika shule ya msingi Mugeta na nyumba ya Mwalimu Nyang,alanga.




Wajumbe wa Kamati ya siasa waliiridhishwa na miradi yote ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa na pia waliwapongeza viongozi wote wa taasisi na Halmashauri kwa namna wanavyoisimamia miradi hiyo vizuri katika utekelezaji wake.

Aidha, katika ziara hiyo Mwenyekiti pamoja na wajumbe wa Kamati, walitembelea mradi wa ujenzi wa shule ya msingi Nyansirori, na Mwenyekiti wa Kamati alimuagiza Katibu Tawala wa Wilaya kuhakikisha anawatuma Taasisi ya Kupambana na kuzia rushwa (TAKUKURU) kuchunguza mwenendo mzima wa mradi unavyoendelea, hii ni kutokana na na changamoto chache walizozibaini katika mradi huo.


Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda