• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Ziara ya Waziri wa Mifugo na Uvuvi Bunda Mhe. Mashimba Ndaki katika Wilaya ya Bunda.

Posted on: December 12th, 2021

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe.Mashimba Ndaki amewataka wafugaji kuhakikisha wanafuata taratibu za ufugaji ili kuepusha mifugo kupata magonjwa.

Hayo amesema Disemba11, 2021 alipotembelea na kuzindua Josho katika kijiji cha Sarakwa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Mhe Mashimba amesema kuwa kila mfugaji aone umuhimu wa kuogesha mifugo pamoja na kuchanja ili kuepusha magonjwa kwa mifugo pamoja na kuwafanya wawe na afya nzuri.

"Aslimia 95 ya magonjwa hutokana na kutofuata utaratibu wa ufugaji,hivyo kila mfugaji aone umuhimu wa kuzingatia taratibu za ufugaji" amesema Mhe.Ndaki

Aidha, Mhe.Ndaki ameeleza kuwa Wizara imeweka mpango mkakati wa kampeni ya kupanda malisho kwa wafugaji ili mifugo isipate changamoto wakati wa kiangazi

‘’Kampeni hii itasaidia mifugo yetu kupata malisho wakati wote", aliongeza Mhe. Ndaki

Awali akitoa taarifa fupi ya ujenzi wa josho mpaka kukamilika, Mjumbe wa Serikali ya  kijiji Bi.Barenda Kitasha  amesema kuwa ujenzi ulianza 22.7.2021 na mpaka kukamilika gharama zilizotumika ni kiasi Tsh.25,150000 ikiwa Milioni 18 kutoka wizara ya mifugo na Uvuvi na Tsh.7,150,000m ni nguvu kazi za Wananchi pamoja na Wadau wengine.

Bi.Kitasha amesema kuwa ujenzi umetekelezwa kwakuzingatia sheria na taratibu zote za ujenzi,viwango stahiki vya ubora na usalama wa mifugo.

Katika hatua nyingine, Mhe.Mashimba ametoa wito kwa Halmashauri kutenga maeneo kwa ajili ya malisho ya mifugo.

"Maeneo yote ya marisho yabainishwe na taarifa zipelekwe Wizarani’’, amesema Mhe.Ndaki

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Mhe.Joshua Nassari amemshukuru Waziri wa Mifugo na Uvuvi kwa ujio wake Bunda, sambamba na kuhakikisha wafugaji Bunda wanapata ruzuku ya dawa kutoka Wizarani

‘’Naimani ujio huu utazaa matunda zaidi kwa wafugaji wa Bunda,Tunashukuru’’,amesema Mhe.Nassari

Mbali na uzinduzi wa Josho kijiji cha Sarakwa Mhe.Ndaki ametembelea Josho katika kijiji cha Kihumbu,Josho katika kijiji cha Mekomariro na Lambo la kunyweshea Mifugo katika Kijiji cha Salama kati.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda