• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA KATIBU TAWALA MKOA WA MARA, ALIPOTEMBELEA NA KUKAGUA MAENDELEO YA UKAMILISHAJI WA SHULE YA WASICHANA MARA

Posted on: May 10th, 2024

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara, Ndugu Gerald Kusaya siku ya tarehe 9/5/2024 alitembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi katika shule ya sekondari ya wasichana Mara, iliyopo katika kijiji cha Bulamba, Kata ya Butimba katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Katibu Tawala Mkoa wa Mara, akikagua viti na vitanda katika shule ya sekondari ya wasichana Mara.

Katika ziara hiyo, Ndugu Kusaya alikagua ukamilishaji wa jiko na majiko ya kupikia chakula cha wanafunzi, bwalo la kulia chakula, mabweni ya kulala wanafunzi na vyoo katika shule hiyo, pia, alimuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda kuhakikisha wanawasimamia mafundi na kuhakikisha wanaongeza kasi ya ujenzi ili kuweza kukamilisha miundombinu yote kwa wakati.

Ukaguzi wa jiko la kupikia pamoja na majiko

Ndugu Kusaya alikagua viti, meza, pamoja na vitanda vya wanafunzi na kumuagiza Muhandisi wa Halmashauri kuhakikisha anawasimamia mafundi ili kukamilisha mapema zaidi na pia, alisisitiza idadi ya viti, meza na vitanda iongezwe ili viweze kuendana na idadi ya wanafunzi watakaoletwa hapo mwezi wa Saba, 2024.

Aidha, Ndugu Kusaya alimuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, kuhakikisha wanachonga barabara zote zilizopo ndani ya shule hiyo, pamoja na kuhakikisha wanajenga uzio haraka ili kuongeza ulinzi na usalama kwa wanafunzi na mali zao.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda