• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

TASAC KUJENGA KIWANDA CHA KUCHAKATA SAMAKI, KIBARA

Posted on: November 3rd, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Bi. Changwa M. Mkwazu siku ya tarehe 1/11/2023 alikutana na Wadau kutoka Shirika la uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) na kufanya mkutano mdogo na wananchi wa eneo la Kibara.

Lengo la mkutano huo ni kuwaeleza wananchi fursa itakayopatikana kutokana na uwekezaji unaotarajiwa kufanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda hasa katika kijiji cha Kibara eneo la Mwaloni.

Mdau kutoka TASAC Kapteni Emmanuel Marijani alisema, wanatarajia kujenga kiwanda cha kuchakata Samaki na Dagaa, pamoja na kuwajengea kituo cha uokoaji na utafutaji katika eneo hilo la Mwaloni, na ujenzi huo unatarajiwa kuanza mapema Januari, 2024.

Kapteni Marijani alisema, tunataka tuipe Halmashauri uwezo wa kukusanya mapato kwa wingi na Wananchi wake kuweza kujipatia fursa mbalimbali ikiwemo kujiongezea mapato sababu shughuli za biashara zitafunguka kwa wingi kutokana na muingiliano wa watu mbalimbali kufika mahali hapa.

Naye, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda B. Changwa M. Kwazu, aliwashukuru Wadau hao kwa kuwaletea fursa hiyo katika Halmashauri, kwani kutokana na Ujenzi huo kutasadia kukuza uchumi.

Naye, Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Mh. Dr. Vicent Anney aliwashukuru Wadau kwa kuchagua kuja kuwekeza mahali hapa, pia, aliwashauri kuwa na andiko la mradi ambalo linaonyesha umri wa mradi kuanzia kuanza kwake hadi ukamilishaji wake na kuwataka kuunda kamati maalumu ambayo ndio itakayokuwa inasimamia mradi mzima na kuhakikisha wanashrikiana kwa pamoja kuanzia kwenye Halmashauri hadi Wilayani maana ndio walengwa wakuu wa mradi huu.

Mradi huu unafadhiliwa na Bank ya Maendeleo ya Afrika (AFDB) wakishirikiana na Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC).

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda