• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Mwita Getere Ashinda Ubunge jimbo la Bunda na Charles Kajege ashinda Jimbo la Mwibara

Posted on: October 30th, 2020

Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Mwibara na Bunda  Bw. Amos Kusaja amemtangaza  Mhe Mwita Getere wa  Chama cha Mapinduzi(CCM) kuwa Mbunge wa Jimbo la Bunda na Mhe Charles Kajege wa Chama cha Mapinduzi kuwa Mbunge wa Jimbo la Mwibara baaada ya kushinda  Uchaguzi mkuu wa Mwaka2020,uliofanyika siku ya Jumatano 28Oktoba,2020.

Akitangaza matokeo hayo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda  Bw. Kusaja amesema jumla ya  vyama vilivoshiriki  kwenye uchaguzi mkuu ni vitatu kwa majimbo yote mawili Mwibara  (CCM,SAU na CHADEMA) na  Jimbo Bunda CCM, CHADEMA na NCCR.

Akisoma matoke hayo Bw. Kusaja amesema mgombea wa chama cha SAU Katika Jimbo la Mwibara  Nyombo Mtani  amepata kura 506,CHADEMA  Vedastus Mahendeka kura  10571 na Charles kajege wa CCM amepata kura 19,770 na  Katika Jimbo la Bunda amemtaja Coanel Agust(NCCR)amepata kura245 ,Samwel Ndalo  (CHADEMA)amepata kura 5596 na Mwita Getere wa CCM amepata kura 14203.

“Katika Jimbo la Mwibara idadi ya watu waliojiandikisha kwenye daftari la  kudumu la wapiga kura walikua ni 70,496      idadi halisi ya waliopiga30,847 kura zilizokataliwa 985na zilizoharibika na Jimbo la Bunda idadi ya watu waliojiandikisha kwenye daftari la  kudumu la wapiga kura walikua ni 47585      idadi halisi ya waliopiga kura 20709 kura zilizokataliwa 665”.Alisema Kusaja

Aidha  Msimamizi wa  Uchaguzi Bw.Kusaja  aliwakabidhi Hati ya Ubunge Bw.Mwita Getere Wa Jimbo la Bunda na Charles Kajege wa Jimbo la Mwibara,kama Wabunge halali wa majibo hayo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI June 04, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ELIMU YA UTUNZAJI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA YATOLEWA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI MWIBARA

    June 04, 2025
  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

    June 03, 2025
  • ELIMU IENDELEE KUTOLEWA KWA VIJANA RIKA BALEHE.

    May 31, 2025
  • WAUGUZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

    May 30, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda