• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DC BUNDA AONGEA NA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA JUU YA MAKAO MAPYA YA HALMASHAURI

Posted on: February 1st, 2020

Mkuu wa wilaya ya Bunda Mh: Lydia Bupilipili amefanya kikao na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya Bunda Januari29,2020.

Akizungumza  katika ukumbi wa Shule ya Msingi Kibara B, Mh Bupilipili aliwapongeza Watumishi kwakuweza kutekeleza agizo la Mh: Rais lakutaka kila Halmashauri kuhamia katika Eneo la kiutawala,

Pia mh Bupilipili aliwataka Watumishi kubainisha changamoto wanazokutana  nazo kwa kipindi hichi walichohamia Katika Eneo la utawala.

Nae, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Bunda Bwa.Amos Kusaja alisema Watumishi wote wamepata vyumba vya ofisi hapa Kibara,ni Ofisi chache ambazo bado wanafanya majukumu yao mengine pale Ofisi za zamani na hii kutokana mifumo bado haijahamia na kazi nyingi zinategemea mifumo.Mpaka sasa niwapongeze Watumishi kwakujituma kwa kipindi hiki cha uwahamisho.Watumishi hawa wanatumia garama zao binafsi Ofisi haijawalipa stahiki zao za uhamisho lakini pia utaratibu unafanyika kwaajili yakuwapatia stahiki zao .alisema Mkurugenzi Mtendaji.

"Taratibu za uhamishaji wa mifumo unaendelea kufanyika ili huduma zote ziwenipatikana huku".

 Kwa upande wa Watumishi walibainisha changamoto wanazokutana nazo katika eneo la utawala ikiwemo vyumba kupanda bei, miundombinu hairidhishi ikiwemo vyoo na barabara kuwa mbovu, changamoto ya maji, kupanda bei bidhaa mbalimbali na vyumba vyingi kutokuwa na hadhi na usiri kwa Watumishi na wananchi kuwarushia mawe watumishi.

"Nyumba ya Mtumishi na Mtu wa kawaida havioneshi tofauti hivyo tunashauri Mh Mkuu wa Wilaya utusaidie kuongea na Wananchi wapunguze bei na kuwahamasisha kujenga Nyumba Bora"

Changamoto  nyingine kubwa ni kuhusu stoo ya chanjo,kwa kawaida stoo ya chanjo inatakiwa kuwa na vyumba vitatu,ikiwemo chumba cha majokofu takribani Saba,chumba cha kutunzia mabox ya silinji na vifaa vingine vikavu na chumba cha ofisi ambapo kwa hapa Kibara hatujapata jengo litakalokidhi mahitaji hayo.pamoja na hivo pia inahitajika uwepo wa standby generator ikitokea dharula ya umeme kukatika.

Halmashauri ya Wilaya ya Bunda ilihamia rasmi katika Eneo lake lakiutawala mnamo oktoba28,2019 ikiwa niutekelezaji wa agizo la muheshimiwa Rais Mh: Dkt John Pombe Magufuli lakuagiza kila Halmashauriya kuhamia katika Eneo lake kiutawala.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda