• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Milioni 250 kujenga kituo cha Afya katika kijiji cha Isanju kata ya Iramba Halmashauri ya Wilaya ya Bunda.

Posted on: October 12th, 2021

Mkuu wa Mara  Mhe.Ally Hapi amewapongeza wanakijiji cha Isanju Kata ya Iramba kwa kutoa eneo la ukubwa wa takribani Hekari 40 kwaajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya katika kijiji hicho.

Pongezi hizo zimetolewa wakati alipotembelea eneo hilo la ujenzi wa Kituo Afya  13Oktoba 2021.

Mhè Hapi amesema kuwa Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan alijua kuwa hapa mlianza kuhangaika na ujenzi wa zanati hivyo ikatolewa milioni 250 kwaajili ya ujenzi wa kituo cha Afya cha kisasa chenye uwezo wa kufanya upasuaji na huduma nyinginge kubwa.

“Kina Mama wajawazito operesheni zote zitafanyika Isanju''Alisema Mhe.Hapi

Aidha Mhe Hapi alitoa rai Ofisi ya Mkurugenzi  Mtendaji  wa Halmashauri  ya Wilaya kuhakikisha ujenzi unaanza haraka iwezekanavyo.

“Nisingependa kuona watu wanakaa na pesa wakati Raisa ameshazitoa,Nisingependa kuona ucheleweshwaji wa mradi huu”Alisema Mhe Hapi

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Halmashauri  DR.Nuru Yunge lengo Mradi ni kusogeza huduma za Afya karibu na   wananchi wa Iramba ambao kwa sasa wanatumia kituo cha Afya cha Kasahunga kwa huduma za rufaa kilometa 33 kutoka kijiji cha Isanju.

“Tunaamini kituo hiki kikikamilika wananchi hawatopata usumbufu  wa huduma za rufaa".alisema Dr.Yunge

Naye Mwenyekiti  wa kijiji cha Isanju Bwa. Zakayo Kabwe amesema kuwa  Wananchi wa Isanju wameshiriki  asalimia mia katika upatikanaji wa eneo.

“Natupo tayari kushiriki katika ujenzi"alisema Kabwe

Bwa.Kabwe alitoa shukrani  kwa serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Samia Suluhu  Hassan  kwakutoa fedha kwaajili ya kusambaza maji kijiji cha Isanju pamoja na ujenzi wa kituo cha Afya.

“Tunashukuru"alisema Bwa.Kabwe

Halmashauri  ya Wilaya ya Bunda  ilipokea fedha Tshs.250,000,000 tarehe 29/9/2021 kwaajili ya ujenzi wa kituo cha Afya kijiji cha Isanju kata ya Iramba ,Halmashauri  pia inatarajia kuanza ujenzi mara tu baada kupata maelekezo kutokq OR-TAMISEMI.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda