• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HATI ZA PONGEZI ZA TOLEWA KWA WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

Posted on: November 14th, 2024

Katika mkutano wa Baraza la madiwani la kupokea taarifa za robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2024/2025, Mwenyekiti wa Baraza la Madiwani Mh. Charles Manumbu aliwatunuku watumishi watatu wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda kwa kazi nzuri ya kusimamia ukusanyaji wa mapato ya ndani ya Halmashauri yaliyopelekea kufikia asilimia 102 kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2023/2024.



 

Hati hizo za pongezi zilitolewa siku ya tarehe 13/11/2024 katika mkutano wa Baraza la madiwani uliofanyika katika ukumbi wa halmashauri uliopo Kibara Stoo.

" Lengo la utoaji wa hati hizi ni kwa ajili ya kuwapa motisha na kutambua juhudi zao katika usimamiaji wa mapato ya Halmashauri vizuri hadi kupelekea kuvuka lengo ambapo katika mwaka wa fedha 2023/2024 Halmashauri ilitarajia kufikia asilimia 100 katika ukusanyaji wa mapato, lakini kutokana na usimamizi na ushirikiano mliounyesha mmeweza kuvuka lengo kwa kufikia asilimia 102." Alisema Mh. Manumbu.

Naye, Katibu Tawala wa Wilaya ya Bunda, Ndugu Salum Khalfan Mtelela alipongeza Baraza la madiwani kwa kutoa hati za pongezi kwa watumishi wa Halmashauri kwa kuweza kusimamia vizuri mapato ya Halmashauri.

Ndugu Mtelela aliwasisitiza waheshimiwa madiwani kuendelea kuhamasisha wananchi kujitokeza siku ya tarehe 27/11/2024 katika kupiga kura za kuchagua viongozi wa serikali za mitaa kwa ngazi za Vijiji na vitongoji.

Katika mkutano huo wa Baraza la madiwani, waheshimiwa madiwani waliweza kuuliza maswali ya papo kwa hapo kwenda kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri na waliweza kupatiwa majibu na ufafanuzi wa maswali yao, pia Baraza lilipokea taarifa mbalimbali zilizowasilishwa kutoka katika taasisi zinazoshirikiana na Halmashauri katika utendaji kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka 2024/2025.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda