• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA YAADHIMISHA SIKU YA UKIMWI DUNIANI

Posted on: December 1st, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Bunda imeadhimisha siku ya UKIMWI duniani kwa kufanya shughuli mbalimbali katika maadhimisho hayo ambapo walizindua kampeni ya utoaji wa matone ya Vitamin A kwa watoto wenye umri wa miezi sita hadi 59, utoaji wa dawa za minyoo kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano, uchangiaji wa damu, upimaji wa malaria, na homa ya ini.




Maadhimisho hayo yalifanyika siku ya tarehe 1/12/2024 katika stendi ya mabasi Nyamuswa na mgeni rasmi alikuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Mh. Keremba Irobi.

Mh. Irobi alisema Halmashauri ya Wilaya ya Bunda imeendelea kutekeleza shughuli mbalimbali zinazohusiana na upimaji wa virus vya UKIMWI kwa kufanya upimaji wa Mara kwa mara kuanzia ngazi za vituo vya Afya, Zahanati na kwenye hospitali ya Wilaya.

Hali ya maambukizi katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda imeshuka hadi kufikia asilimia 2.1 ambapo inaonyesha jamii imeanza kuelimika na kuhamasika kwenda kupima mara kwa mara kwa lengo la kujikinga na maambukizi mapya ya virus kwa kuhakikisha wanaanchana na Mila potofu za kurithi wajane na wagane, kufanya tohara kwa njia za kienyeji kwani zimekuwa kichocheo kikubwa cha kuongezeka kwa Virus vya UKIMWI.

" Leo hii inaonyesha ni kwa jinsi gani maambukizi ya virus vya UKIMWI yanavoshuka, hivyo inaonyesha ni kwa jinsi gani jamii inavyoanza kujali katika kuhakikisha inadhibiti maambukizi ya virus vya UKIMWI." Alisema Mh. Irobi.

Lengo kuu la maadhimisho haya ni kutafakari hali halisi ya mwelekeo wa kudhibiti maambukizi ya virus vya UKIMWI kitaifa na kimataifa. UKIMWI umekuwepo nchini Tanzania kwa zaidi ya miaka 40 sasa na unaendelea kuleta athari kubwa katika jamii kiuchumi na kijamii katika Taifa letu, hivyo hatuna budi kuachana na Mila potofu.

Maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani yalihudhuriwa na wadau kutoka Amref,  na USAID kizazi hodari.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA NAFASI ZA UDEREVA May 07, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYATEMBELEWA NA KUKAGULIWA NA KAMATI YA MIKOPO NGAZI YA HALMASHAURI

    April 26, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAHITIMISHA MAFUNZO YA SIKU 5 YA UANDAAJI NA UTENGENEZAJI WA MPANGO MKAKATI

    April 25, 2025
  • PROJECT ZAWADI YAIPIGA TAFU MASHINDANO YA UMITASHUMTA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA

    April 07, 2025
  • WALIMU WA SHULE ZA SEKONDARI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WAPEWA TUZO NA ZAWADI .

    April 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika: 0742163056

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda