• Malalamiko |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
Bunda District Council
Bunda District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Kilimo, Umwagiliaji & Ushirika
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Maji
      • Fedha & Biashara
      • Ujenzi
      • Afya
      • Mifugo & Uvuvi
      • Elimu Sekondari
      • Rasilimali Watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi & Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Elimu Msingi
    • Barabara
    • Mifugo
    • Afya
    • Mazao ya kilimo
  • Fursa za Uwekezaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi & Mipango
      • Elimu, Afya & Maji
      • AIDS Control
      • Maadili
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taarifa
    • Sheria Ndogo
    • Fomu Mbalimbali
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Uma
    • Video
    • Hifadhi ya Picha
    • Habari
    • Matukio

VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUNDA WATAKIWA KUSIMAMIA MIRADI NA MAPATO YA VIJIJI.

Posted on: November 30th, 2024

Msimamizi wa Uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Ndugu George S Mbilinyi amewapongeza viomgozi wote walioshinda kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa, 2024 ulimalizika tzrehe 27/11/2024.

Pongezi hizo alizitoa wakati viongozi hao walipomaliza kula kiapo cha Utii na Uadilifu siku ya tarehe 29/11/2024 katika shule ya msingi Mugeta.

Ndugu Mbilinyi aliwaambia viongozi hao wanatakiwa kufuata maadili ya kazi kwa kuhakikisha wanafuata kanuni, sheria na taratibu za kazi, pia kuepukana na vitendo vya kupokea rushwa wafanye kazi kwa kufuata kanuni na taratibu na kuhakikisha wanaongoza wananchi wote kwa haki na usawa.

Msimamizi wa Uchaguzi aliwasisitiza kwenda kusimamia miradi yote ya maendeleo ambayo inaendelea kutekelezwa katika vijiji vyao na kuhakikisha wanasoma taarifa za mapato na matumizi  kila robo ya mwaka katika vijiji vyao.

“Nyie ndio walinzi wa amani katika vijiji na vitongoji vyenu hakikisheni mnalinda amani ya kijiji kwa kuhakikisha mnaepuka kuwa chanzo cha migogoro katika vitongoji na vijiji vyenu”alisema Ndugu Mbilinyi

Kiapo cha utii na uadilifu kilitolewa na Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mwanzo Mugeta Bi. Martha John.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI June 23, 2025
  • TANGAZO LA MIKOPO September 26, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 18, 2024
  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 20, 2024
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ZIARA YA MKURUGENZI MTENDAJI YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI KATIKA HOSPITALI YA WILAYA

    June 27, 2025
  • BONANZA LA MICHEZO LA WATUMISHI KATI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA, BUNDA DC NA TC

    June 16, 2025
  • MRATIBU WA MRADI WA BCRAP ATAJA VIPAUMBELE VITAKAVYOENDA KUTEKLELEZWA KWA AWAMU YA PILI YA MRADI

    June 11, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 300 ZA POKELEWA KATIKA UTEKELEZAJI WA MRADI WA KUHIMILI ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIA NCHI

    June 09, 2025
  • Angalia zote

Video

Mvamizi wa eneo la soko.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Baraza la Madiwani
  • Dira na Dhamira
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Mpango Mkakati
  • Mpango wa Uwekezaji Sekta ya Samaki
  • Muundo wa Taasisi
  • OPRAS - Form

Viunganishi Muambata

  • Matokeo ya Darasa la Saba 2023 Bundadc
  • Matokeo ya darasa la saba
  • Matokeo ya darasa la saba
  • PO-RALG
  • PO-PSM
  • Matokeo ya Kidato cha Nne 2019

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Kibara Stoo.

    Anuani ya Posta: 126, Bunda

    Simu: 0282621055

    Hamishika:

    Barua Pepe: ded@bundadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki@ 2017 Halmashauri ya Wilaya ya Bunda